Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' kushoto akipambana na wachezaji wa JKU ya Zanzibar katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. JKU ilishinda 2-0
Beki wa Yanga, Hassan Kessy (kushoto) akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa JKU
Winga wa Yanga, Obrey Chirwa akimzuia mchezaji wa JKU katika harakati za kuwania mpira
Mshambuliaji Matheo Anthony (kushoto) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa JKU
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi akimtoka mchezaji wa JKU
Benchi la Ufundi la Yanga jana
Kikosi cha kwanza kilichoanza jana
Kipindi cha pili wakainuliwa hawa wote kuingia kasoro Kevin Yondan (kushoto)
NFL Rumors: Giants, Vikings' Trade Offers for Patriots' No. 3 Draft Pick
Revealed
-
The New England Patriots reportedly received lofty offers from the
Minnesota Vikings and New York Giants for their No. 3 pick in the NFL
draft. Per Sports…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment