Mbunge wa jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia) amuelekeza baba yake na Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete juu ya eneo ambalo limepangwa kujengwa viwanja vya michezo kwa msaada wa serikali ya China. Wengine pichani ni Balozi wa China nchini Tanzania, Dk Lu Yong na Mhandisi Yang.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwapa maelekezo wageni wake jana
Wananchi na viongozi waliojitokeza kumpokea Rais Mstaafu alipokuwa akiingia kwenye viwanja vya mwenge Msoga
Ukaguzi wa eneo la viwanja ukiendelea. Wa kwanza kushoto kwa Mbunge Ridhiwani ni Diwani wa kata ya Msoga na Afisa Tarafa
Mbunge Ridhiwani akitoa shukrani kwa Serikali ya China kwa msaada huo
Mbunge akizungumza na Balozi Dk. Yong juu ya mipango ya maendeleo ya michezo katika Halmashauri ya Chalinze
Footy coach Luke Beveridge's son launches his surprising new career with
some VERY risque photos
-
Kye Beveridge, son of the Western Bulldogs coach, posted two
black-and-white snaps from a recent photo shoot, where he poses topless in
the moody shots.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment