Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta (kulia) akijaribu kumpita beki wa Standard Liege, Milos Kosanovic katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji jana Uwanja wa Laminus Arena, Genk. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2 Samatta akiifungia bao la kusawazisha Genk dakika ya 77
Samatta akimpita beki wa Liege, Isaac Mbenza (kuli)
Samatta akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao dakika ya 77
Ulimwengu (wa pili kulia) akipongezwa na mchezaji mwenzake baada ya bao muhimu
Refa A. Boucaut akimzuia Samatta baada ya kusimamisha mchezo jana
Samatta (katikati) akiwa na wachezaji wenzake katika hali ya masikitiko baada ya mchezo kumalizika wakilazimishwa sare ya nyumbani
Chinese Grand Prix's sole practice session disrupted by unexplained FIRE
appearing trackside... with Aston Martin's Lance Stroll beating Max
Verstappen and Lewis Hamilton ahead of this weekend
-
Aston Martin's Lance Stroll was the surprise name at the top of the
leaderboard in the sole practice session for this weekend's Chinese Grand
Prix, which w...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment