MHOLANZI Jaap Stam atarejea Manchester United mwezi ujao baada ya klabu yake, Reading kupangwa kuwafuata Mashetani hao Wekundu Uwanja wa Old Trafford katika Raundi ya Tatu ya Kombe la FA, England.
Stam alikuwa shujaa wa safu ya ulinzi katika miaka yake mitatu ya kuchezea United, mwaka 1999 ukiwa wa kukumbukwa zaidi baada ya kushinda mataji matatu kabla ya kuuzwa Lazio kufuatia kutofautiana na Sir Alex Ferguson aliyekuwa kocha wa timu hiyo wakati huo.
Lakini baadaye, kocha Ferguson alikiri alifanya kosa kubwa kumuacha mchezaji huyo.
Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho atamenyana na Reading ya kocha Jaap Stam PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stam alikuwa shujaa wa safu ya ulinzi katika miaka yake mitatu ya kuchezea United, mwaka 1999 ukiwa wa kukumbukwa zaidi baada ya kushinda mataji matatu kabla ya kuuzwa Lazio kufuatia kutofautiana na Sir Alex Ferguson aliyekuwa kocha wa timu hiyo wakati huo.
Lakini baadaye, kocha Ferguson alikiri alifanya kosa kubwa kumuacha mchezaji huyo.
Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho atamenyana na Reading ya kocha Jaap Stam PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment