Mesut Ozil akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 49 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 42 na Alex Iwobi dakika ya 75, wakati la Stoke lilifungwa na Charlie Adam dakika ya 29 kwa penalti baada ya Granit Xhaka kumchezea rafu Joe Allen kwenye boksi matokeo hayo yanaipandisha kileleni The Gunners kwa kufikisha pointi 34 sawa na Chelsea yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Essendon vs Collingwood LIVE: All the latest updates from the AFL's Anzac
Day match
-
Daily Mail Australia live blog: Get all the latest scores and updates as
the Bombers take on the Magpies in one of the season's most anticipated
matches.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment