Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiugulia maumivu jana wakati wa mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 dhidi ya Serbia usiku wa jana Uwanja wa Luz mjini Lisbon timu hizo zikitoka sare ya 1-1 kufutia kuumia nyama za paja kabla ya kutolewa dakika ya 31 tu nafasi yake ikichukuliwa na Pizzi. Kwa sare ya pili mfululizo jana, Ureno inashika nafasi ya tatu kwa pointi zake mbili nyuma ya Luxembourg pointi tatu na Ukraine pointi nne. Na hiyo baada ya jana Ukraine kuwachapa wenyeji, Luxembourg 2-1 mjini Luxembourg katika mchezo mwingine wa kundi hilo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment