Kikosi cha Simba SC kabla ya mechi ya Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara Julai 2, mwaka 1994 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Kutoka kulia waliosimama George Masatu, Mustapha Hoza, Hussein Marsha, Mwameja Mohammed, Godwin Aswile, Madaraka Suleiman na Mfadhili, Azim Dewji. Waliochuchumaa kutoka kulia Edward Chumila (marehemu), Iddi Suleiman ‘Meya’, Deo Mkuki, Duwa Said na Athumani China. Simba SC ilishinda 4-1 mabao yake yakifungwa na George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani na Dua Saidi wakati bao pekee la Yanga SC lilifungwa na Constantine Kimanda.
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment