Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia kwa staili ya Wakanda Forever katika filamu ya Black Panther baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za tano na 72 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Rennes kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates. Bao lingine lilifungwa na Ainsley Maitland-Niles dakika ya 15 na Arsenal inafuzu Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3 baada ya kufungwa 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment