Ousmane Dembele (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Paul Pogba baada ya kuifungia Ufaransa bao la tatu dakika ya 63 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Italia usiku wa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Mabao mengine ya Ufaransa inayojiandaa na Kombe la Kombe la Dunia yalifungwa na Samuel Umtiti dakika ya nane na Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 29, wakati la Italia lilifungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 36 akimalizia mpira wa adhabu wa Mario Balotelli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chilling text NASCAR star Greg Biffle's wife sent to her mom just
minutes before tragic plane crash
-
Seven people were killed on Thursday after a Cessna C550 private jet, owned
by the 55-year-old racing driver, crashed on the runway at Statesville
Regional...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment