Refa Mswisi, Fedayi San akimuonyesha kadi nyekundu Cenk Tosun wa Uturuki dakika ya 60 baada ya kwenda kujibizana na mashabiki aliodai walikuwa wanamtukana baba yake na mjomba wake wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana dhidi ya Tunisia uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Geneve, Carouge. Mabao ya Uturuki yalifungwa na Tosun kwa penalti dakika ya 54 na Caglar Soyuncu dakika ya 90, wakati ya Tunisia yalifungwa na Anice Badri dakika ya 56 na Ferjani Sassi dakika ya 79 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgraced A-League star Ulises Davila to be sentenced for corrupt conduct
in 2026 - as Football Australia issues its own bans over spot-fixing from
three other tarnished players
-
Disgraced A-League star Ulises Davila will be sentenced for corrupt conduct
next year after bail was continued in Sydney's Downing Centre on December
19.
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment