Winga wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa Difaa Hassan El- Jadida juzi mjini Jadida nchini Morocco wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mechi za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika na kwa ujumla pamoja na msimu mpya kufuatia mapumziko ya wiki tatu. Msuva amerejea Morocco wiki hii baada ya kuwa nyumbani kwa mapumziko kwa muda wote huo
'Snicko needs to be sacked' - Ashes controversy continues
-
Players' distrust of 'Snicko' grows as controversy continues with the
dismissal of Jamie Smith in the Adelaide Ashes Test.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment