Yuya Osako (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Japan dakika ya 73 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Colombia kwenye mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia Uwanja wa Mordovia Arena mjini Saransk, Urusi. Wengine ni Yuto Nagatomo (kushoto) na Maya Yoshida. Bao la Kwanza la Japan lilifungwa na Shinji Kagawa dakika ya sita kabla ya Juan Fernando Quintero kuisawazishia Colombia dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The day England's Ashes dream finally died: Confused tourists unravel in
scorching heat and prod their way to 213-8, waving the white flag as
Australia have answers at every turn
-
LAWRENCE BOOTH IN ADELAIDE: Forget Bazball: this was the day England's
Ashes dream finally died. Many, of course, would argue that moment had come
and gone.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment