Mshambuliaji Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia England mabao matatu dakika za 22, 45 na ushei yote kwa penalti na 62 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Panama kwenye mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia leo Uwanja wa Stadion Nizhny Novgorod nchini Urusi. Mabao mengine ya England yamefungwa na John Stones dakika ya nane na 40 na Jesse Lingard dakika ya 36, wakati la Panama limefungwa na Felipe Baloy dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: Ollie Pope plumbs new depths in England's dismal batting
response, more Snicko embarrassment and Nathan Lyon overtakes Aussie great
-
OLIVER HOLT IN ADELAIDE: England's hopes of regaining the Ashes are hanging
by the most frayed of threads after another dismal performance.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment