Beki wa Colombia, Yerry Mina akipiga magoti kushangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi timu yake dakika ya 74 ikiilaza 1-0 Senegal katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia leo Uwanja wa Samara Arena nchini Urusi. Kwa matokeo hayo, Colombia imeungana na Japan kwenda hatua ya 16 Bora, huku Senegal ikiungana na timu nyingine za Afrika, Nigeria, Morocco, Misri na Tunisia kuaga mashindano huku Poland nayo ikitolewa pamoja na kushinda 1-0 dhidi ya Japan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment