Mshambuliaji wa Brazil, Neymar (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake, Casemiro na Douglas Costa kushangilia baada ya kufunga bao la pili dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kukamilika dakika 90 za kawaida za mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia leo Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi, baada ya Philippe Coutinho kufunga la kwanza dakika ya 90 na ushei pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia's Smith out of third Test with illness
-
Usman Khawaja, who was left out after losing his place after experiencing
back spasms in the first Test, replaces Steve Smith in the Australia XI in
Adelaide.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment