Harry Kane akisherehekea baada ya kuifungia Tottenham bao la kwanza dakika ya 49 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Bao la pili la Spurs lilifungwa na Son Heung-Min dakika ya 76, wakati la Borussia Dortmund lilifungwa na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 31 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bombshell new documentary lifts the lid on Jordon Hudson's age-gap romance
with Bill Belichick... from PR disasters to leaked phone calls
-
The romance, between a 24-year-old former cheerleader and the NFL's
greatest ever coach, has been the subject of explosive reports throughout
his tenure wi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment