Alberto Moreno (kushoto) akimpongeza Mohamed Salah baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 77 na 83 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City usiku wa jana Uwanja wa Bet365, Stoke-on-Trent, Staffordshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Sadio Mane dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment