Nyota wa Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez wakiwalalamikia marefa kuwanyima bao kipindi cha pili usiku wa jana Uwanja wa Mestalla katika mchezo wa La Liga, Valencia. Shuti la Messi lilivuta mstari wa lango, lakini kipa Norberto Murara 'Neto' akaokolea ndani timu hizo zikitoka sare ya 1-1, Rodrigo Moreno Machado alianza kuwafungia Valencia dakika ya 60, kabla ya Jordi Alba kuwasawazishia dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment