Mshambuliaji Mfaransa, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 69 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Roma kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano. Bao lingine la Atletico Madrid limefungwa na Kevin Gameiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment