Mshambuliaji Robert Lewandowski akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Bayern Munich katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Anderlecht dakika ya 51 Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Bruxelles, ambalo linakuwa la 50 kwa klabu yake msimu huu. Bao lingine la Bayern Munich limefungwa na Corentin Tolisso dakika ya 77 na la Anderlecht limefungwa na Sofiane Hanni dakika ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The willingness of Man United's bungling bigwigs to cash in on Bruno
Fernandes is incredible - brain farts are their modern DNA, writes RIATH
AL-SAMARRAI
-
How to fix the dire mess of the 2024-25 campaign? Here's an idea: offload
Bruno Fernandes, the best player, one of the few guys in a dressing room of
drift...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment