Mshambuliaji Sadio Mane akiruka kichwa cha mkizi kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 22 katika sare ya 3-3 na wenyeji, Sevilla katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Roberto Firmino dakika ya pili na ya 30, wakati ya Sevilla yalifungwa na Wissam Ben Yedder dakika ya 51 na 60 kwa penalti na Guido Pizarro dakika ya 90 na ushei. Kwa sare hiyo, Liverpool wanalazimika kushinda mechi ya mwisho dhidi ya Spartak Moscow wiki mbili zijazo ili kuingia hatua mtoano, vinginevyo wataangukia Europa League PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New York Knicks win first title since 1973 as stunning fourth-quarter
comeback seals NBA Cup glory against Victor Wembanyama's Spurs
-
NBA superstar Victor Wembanyama was closing in on his first trophy with the
San Antonio Spurs until the Knicks' late comeback turned the game on its
head, ...
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment