Raheem Sterling (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City dakika ya 84 ikiilaza Huddersfield Town 2-1 leo Uwanja wa The John Smith, West Yorkshire huo ukiwa ushindi wa 11 mfululizo katika Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Man City lilifungwa na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 47 baada ya Sterling kuangushwa kwenye boksi, wakati bao la Huddersfield Nicolas Otamendi alijifunga dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment