Wayne Rooney akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za 18, 28 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya West Ham United usiku wa jana Uwanja wa Goodison Park, Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la nne lilifungwa na Ashley Williams dakika ya 78, ushindi ambao unamkaribisha vizuri kocha mpya, Sam Allardyce PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment