• HABARI MPYA

    Thursday, June 17, 2021

    YANGA SC YATINGA FAINALI LIGI YA VIJANA U20 BAADA YA USHINDI WA PENALTI 6-5 KUFUATIA SARE YA 1-1 NA AZAM FC LEO CHAMAZI

     YANGA SC imefanikiwa kwenda Fainali ya Ligi Kuu ya Vijana chini ya umri wa miaka 20 baada ya ushindi wa penalti 6-5 kufuatia sare ya 1-1 na Azam FC leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.


    Abdulkarim Yunus alianza kuifungia Yanga B dakika ya 69, kabla ya Ibrahim Issa kuisawazishia Azam Akademi dakika ya 86 na ndipo Watoto wa Jangwani wakaenda kukata tiketi ya Fainali kwenye matuta baada ya matokeo ya 1-1 kudumu ndani ya dakika 120.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YATINGA FAINALI LIGI YA VIJANA U20 BAADA YA USHINDI WA PENALTI 6-5 KUFUATIA SARE YA 1-1 NA AZAM FC LEO CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top