MSHAMBULIAJI MTANZANIA ADAM ADAM AANZA NA MOTO LIGI YA LIBYA, AFUNGA BAO KATIKA MECHI YAKE YA KWANZA TU BAADA YA KUSAJILIWA
MSHAMBULIAJI Mtanzania, Adam Adam ameripotiwa kufunga bao katika mechi yake ya kwanza klabu yake mpya, Al Wehda dhidi ya Aschat kwenye Ligi Kuu ya Libya baada ya kusajiliwa wiki iliyopita akitokea JKT Tanzania ya nyumbani.
Item Reviewed: MSHAMBULIAJI MTANZANIA ADAM ADAM AANZA NA MOTO LIGI YA LIBYA, AFUNGA BAO KATIKA MECHI YAKE YA KWANZA TU BAADA YA KUSAJILIWA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment