• HABARI MPYA

    Monday, June 14, 2021

    NEYMAR AFUNGA BRAZIL YAICHAPA VENEZUELA 3-0 COPA AMERICA

    WENYEJI, Brazil usiku wa kuamkia leo wameichapa Venezuela 3-0, mabao ya Marquinhos dakika ya 23, Neymar kwa penalti dakika ya 64 na Gabriel Barbosa dakika ya 89 katika mchezo wa Kundi B Copa America Uwanja wa Taifa wa Brasilia.
    Leo Argentina wanatupa karata yao ya kwanza kwenye Copa America 2021 kwa kumenyana na Chile katika mchezo wa Kundi A Saa 6:00 usiku Uwanja wa Nilton Santos Jijini Rio de Janeiro, Brazil.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEYMAR AFUNGA BRAZIL YAICHAPA VENEZUELA 3-0 COPA AMERICA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top