Mshmbuliaji wa Ndanda FC, Riffat Khamis wa pili kushoto akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 na wadhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kampuni ya Vodacom Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Oktoba. Riffat alipewa tuzo hiyo kabla ya mchezo dhidi ya Simba leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, ambao Ndanda walifungwa 2-0
Verstappen beats Norris and Piastri to pole in season finale
-
Red Bull's Max Verstappen beats his McLaren title rivals Lando Norris and
Oscar Piastri to pole position for the Abu Dhabi Grand Prix.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment