Mshmbuliaji wa Ndanda FC, Riffat Khamis wa pili kushoto akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 na wadhamini wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kampuni ya Vodacom Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa ligi hiyo kwa mwezi Oktoba. Riffat alipewa tuzo hiyo kabla ya mchezo dhidi ya Simba leo Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara, ambao Ndanda walifungwa 2-0
How Brooklyn Beckham failed at Arsenal and set football's biggest nepo baby
on path to marry a billionaire and split with his parents
-
Anxiety was highlighted as one of the reasons Brooklyn had opted to step
away from following in his father's footsteps and pursuing a career as a
professio...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment