• HABARI MPYA

    Sunday, November 30, 2014

    TYSON AMSHINDA CHISORA, SASA KUMVAA KLITSCHKO

    Fury lands an uppercut on his way to a decisive victory over Chisora to set himself up for a shot at Wladimir Klitschko next year
    Bondia Tyson Fury (kulia) akimchapa konde la uppercut mpinzani wake Dereck Chisora katika pambano la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa ExCel, Docklands mjini London. Fury alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 10 na sasa anaweza kupambana na bingwa wa dunia, Wladimir Klitschko mwakani.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2854583/Tyson-Fury-eases-victory-Dereck-Chisora-heavyweight-rematch.html#ixzz3KWSmzOka 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TYSON AMSHINDA CHISORA, SASA KUMVAA KLITSCHKO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top