• HABARI MPYA

    Wednesday, November 26, 2014

    CAVANI NA IBRA WATUPIA PSG IKISHINDA 3-1

    Edinson Cavani and Zlatan Ibrahimovic celebrate the Uruguayan's first of two strikes against Ajax
    Nyota wa PSG, Edinson Cavani na Zlatan Ibrahimovic wakipongezana baada ya kuifungia timu yao katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ajax usiku wa kuamkia leo katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Cavani alifunga mawili, Ibra moja, wakati bao la Ajax lilifungwa na Davy Klaassen.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2849443/PSG-3-1-Ajax-Zlatan-Ibrahimovic-returns-screamer-Edinson-Cavani-claims-double.html#ixzz3K8wammIZ 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAVANI NA IBRA WATUPIA PSG IKISHINDA 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top