• HABARI MPYA

    Saturday, November 29, 2014

    LIVERPOOL YATAKATA ANFIELD, BALOTELLI HANA MBAVU JUKWAANI

    Liverpool central defender Kolo Toure (left) and Joe Allen (right) out jump Stoke City forward Jonathan Walters
    Mabeki wa kati wa Liverpool, Kolo Toure (kushoto) na Joe Allen (kulia) wakiruka juu kupambana na mshambuliaji wa Stoke City, Jonathan Walters katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Anfield. Liverpool ilishinda 1-0, bao pekee la Glen Johnson dakika ya 85.
    Liverpool striker Mario Balotelli is all smiles as he looks on from the stands of Anfield during the first half of the match
    Mshambuliaji wa Liverpool, ambaye ni majeruhi, Mario Balotelli akifurahia wakati anatazama mechi baina ya timu yake na Stoke City Uwanja wa Anfield leo

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2854000/Liverpool-1-0-Stoke-City-Glen-Johnson-bags-85th-minute-winner-Anfield-ease-pressure-Reds-manager-Brendan-Rodgers.html#ixzz3KTkOE4ur 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YATAKATA ANFIELD, BALOTELLI HANA MBAVU JUKWAANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top