• HABARI MPYA

    Sunday, January 27, 2013

    FRANK DOMAYO TAABANI, AUGUA GHAFLA NA KUENGULIWA KIKOSINI YANGA LEO

    Kiungo wa Yanga, Frank Domayo akiwa amelala katika zahanati ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mida hii, baada ya kupatwa na Malaria ya ghafla. Domayo ilikuwa aanze mechi ya leo, lakini kutokana na kuugua huko ghafla, sasa nafasi yake ataanza Nurdin Bakari.

    Kiungo wa Yanga, Frank Domayo akiwa amelala katika zahanati ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mida hii, baada ya kupatwa na Malaria ya ghafla. Domayo ilikuwa aanze mechi ya leo, lakini kutokana na kuugua huko ghafla, sasa nafasi yake ataanza Nurdin Bakari.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: FRANK DOMAYO TAABANI, AUGUA GHAFLA NA KUENGULIWA KIKOSINI YANGA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top