Mange Kimambi |
ALIYEKUWA mwandaaji wa shindano la urembo la Miss Dar Indian
Ocean, Mange Kimambi amekatwa na Jeshi la Polisi Kinondoni kwa tuhuma za
kumthumu mwigizaji maarufu nchini, Vincent Kigosi ‘Ray’ kuhusika na mauaji ya
mwigizaji mwenzake Steven Kanumba.
Akizungumza na bongostaz.blogspot. com, Kamanda wa Polisi Kinondoni,
Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Charles Kenyella, amesema Ray alishitaki kituo
cha Polisi Oysterbay kuhusu Mange, kuandika tuhuma hizo kwenye blog yake,
iitwayo U-turn.“Mange tulimshikilia hapa kwetu tangu jana (juzi), ila leo tumemwachia kwa dhamana na uchunguzi unaendelea,” alisema.
bongostaz.blogspot.com inaendelea kuwatafuta Mange na Ray kuzungumzia kesi yao.
0 comments:
Post a Comment