Winga wa Yanga mwenye kasi na chenga za maudhi, Mrisho Khalfan Ngassa aliondoka jana kwenda Uingereza kufanya majaribio ya kujiunga na klabu ya West Ham United ya huko. Ngassa, mtoto wa kiungo wa zamani wa Pamba ya Mwanza na Simba ya Dar es Salaam, aliondoka na wakala wake Yussuf Bakhresa kwenda kujaribu bahati yake. bongostaz inamtakia kila la heri mchezaji huyo.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment