Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chilling text NASCAR star Greg Biffle's wife sent to her mom just
minutes before tragic plane crash
-
Seven people were killed on Thursday after a Cessna C550 private jet, owned
by the 55-year-old racing driver, crashed on the runway at Statesville
Regional...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment