Ilkay Gundogan akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 70, kufuatia Raheem Sterling kufunga la kwanza dakika ya 46 na David Silva la pili dakika ya 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 22 baada ya kucheza mechi 10, sasa ikizidiwa pointi tatu tu na Liverpool ambayo hata hivyo imecheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michigan's investigation into Sherrone Moore scandal could lead to more
firings, president admits in bombshell statement to students
-
Speaking from his office in a video message posted online, the school's
interim president opened up on the 'challenging time' that has seen the
former Wolv...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment