Kylian Mbappe (kulia) akishangilia na Mauro Icardi (kushoto) baada ya kuifungia Paris Saint Germain mabao matatu dakika za 61, 79 na 83 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Icardi dakika ya saba na ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment