Nicolas Pepe usiku wa jana amefunga mabao mawili kwa mashuti ya mpira wa adhabu dakika ya 80 na 90 na ushei na kuiwezesha Arsenal kutoka nyuma na kushinda 3-2 dhidi ya Vitoria Guimaraes kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Gabriel Martinelli dakika ya 32, wakati ya Vitoria Guimaraes yalifungwa na Marcus Edwards dakika ya nane na Bruno Duarte dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment