Mshambuliaji wa Brazil Neymar akimtoka Victor Osimhen wa Nigeria katika mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Taifa wa Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Joe Aribo akianza kuifungia Nigeria dakika ya 35, kabla ya Casemiro kuisawazishia Brazil dakika ya 48 huku Neymar akitolewa dakika ya 12 tu baada ya kuumia, nafasi yake ikichukuliwa na Philippe Coutinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Congo residents demand state protection as M23 fighters withdraw
-
STORY: A truck carrying M23 soldiers drives out of the eastern Congolese
town of Uvira.
That is as the Rwanda-backed rebels began withdrawing from the re...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment