Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Glum England stars arrive in Melbourne after Adelaide defeat, as Travis
Head lifts the lid on Australia's Ashes party and how 'Ronball' came about
-
A glum-looking England side has arrived in Melbourne ahead of this week's
Boxing Day Test.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment