Kipa wa Valencia, Neto akichupia mpira kudaka mbele ya mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 usiku wa Jumanne Uwanja wa Old Trafford. Huo ni mchezo wa nne mfululizo Man United inacheza bila kushinda, baada za sare ya 1-1 na Wolverhampton, 2-2 Derby County kisha kutolewa kwa penalti kwenye Kombe la Ligi na kufungwa 3-1 na West Ham United, jambo ambalo linaweza kumuweka pabaya kocha Mreno, Jose Mourinho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves chairman QUITS: Angry fans get their wish as Jeff Shi steps down
after weeks of protests, with Rob Edwards' side heading for the Championship
-
TOM COLLOMOSSE: Jeff Shi has stepped down as executive chairman of Wolves
after a chaotic period on and off the pitch.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment