Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho akidhibitiwa asiende kugombana na mmoja wa makocha wasaidizi wa Chelsea, Marco Ianni leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England baina ya timu hizo uliomalizika kwa sare ya 2-2 Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Mourinho alikasirishwa na kitendo cha Ianni kwenda kushangilia mbele yake baada ya Chelsea kupata bao la kusawazisha dakika ya mwisho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A 'novice' who can 'punch a bit' - how good is Paul?
-
BBC Sport takes a look inside Jake Paul’s camp and assesses his boxing
ability before Friday's fight with Anthony Joshua in Miami.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment