David Silva akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 87 ikiilaza 2-1 Hoffenheim katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Wirsol Rhein-Neckar-Arena mjini Sinsheim, Ujerumani. Ishak Belfodil alianza kuifungia Hoffenheim sekunde ya 45 kabla ya Sergio Aguero kuisawazishia Man City dakika ya saba PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Maguire's passion project ahead of NRL premiership defence with the
Broncos - 'he is one of the best minds in Australian sport'
-
Michael Maguire has revealed his passion project as the premiership-winning
coach looks to take the Broncos to back-to-back NRL titles in 2026.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment