Paul Pogba na Anthony Martial wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1wa Manchester United dhidi ya Everton leo Uwanja wa Old Trafford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Pogba alifunga bao la kwanza dakika ya 27 akimalizia mpira uliorudi baada ya Jordan Pickford kuokoa mkwajue wake wa penalti kabla ya kumpasia Martial kufunga la pili dakika ya 49, wakati la Everton limefungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti pia dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment