Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 18 katika sare ya 1-1 na Genoa kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Genoa walisawazisha dakika ya 67 kupitia kwa Daniel Bessa huku Ronaldo akiweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 400 kwenye Ligi tano za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police investigate cricket star over allegations of sexual touching
-
NSW fast bowler Ross Pawson has been stood down by Cricket NSW after police
launched an investigation into allegations of sexual touching.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment