Mshambuliaji Edin Dzeko akikimbia kushangilia baada ya kuifungia AS Roma bao la kwanza dakika ya 30 kabla ya kuongeza lingine dakika ya 43 na kumsetia Cengiz Under kufunga la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Olimpiki mjini Roma, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Man United midfielder Paul Ince compares Matheus Cunha to club
legend after Brazilian's stellar performance in thriller 4-4 draw with
Bournemouth
-
Cunha, signed in the summer for a fee of £62.5million from Wolves, enjoyed
arguably his best performance in a United shirt on Monday night in his
side's th...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment