Nacer Chadli akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Ubelgiji dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Dunia leo Uwanja wa Rostov Arena ikitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kushinda 3-2 na kwenda Robo Fainali ambako itakutana na Brazil. Japan ilitangulia kwa mabao ya Genki Haraguchi dakika ya 48 na Takashi Inui dakika ya 52 kabla ya Ubelgiji kusawazisha kwa mabao ya Jan Vertonghen dakika ya 69 na Marouane Fellaini dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Giggs responds to Premier League Hall of Fame snub as Man United
legend reveals what Ruben Amorim needs to deliver success
-
The former winger is a record 13-time Premier League winner - two more than
his former team-mate Paul Scholes. Giggs is also the competition's all-time
ass...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment