Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuigungia bao la kuongoza Manchester United dakika ya 12 katika sare ya 1-1 na AC Milan kwenye mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Rose Bowl, Pasadena, California nchini Marekani. Suso aliisawazishia AC Milan dakika ya 15 kabla ya Man United kwenda kushinda kwa penalti 9-8 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
All you need to know about Sports Personality of the Year 2025
-
BBC Sport has everything you need to know about BBC Sport's Personality of
The Year 2025 and how to vote.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment