Pedro akishangilia baada ya kuifungia bao la kuongoza Chelsea dakika ya nane katika sare ya 1-1 na Inter Milan kabla ya kushinda kwa penalti 5-4 kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku huu Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice, Ufaransa. Roberto Gagliardini aliisawazishia Inter dakika ya 49 akitumia makosa ya Tiemoue Bakayoko kabla ya Cesar Azpilicueta kufunga penalti ya ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment