Bernardo Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 45 na 70 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Bayern Munich kwenye mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao lingine la Man City limefungwa na Lukas Nmecha dakika ya 51 wakati ya Bayern Munich yamefungwa na Meritan Shabani dakika ya 15 na Arjen Robben dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPOTY nominee Chloe Kelly reveals she can't listen back to podcast
detailing panic attacks and hair loss - as Euros hero lauds Arsenal move
and Lionesses triumph for helping her overcome anxiety woes
-
Chloe Kelly says she has been unable to listen back to the podcast in which
she revealed her struggles with anxiety and alopecia earlier this year,
admitti...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment