Mashabiki wa Yanga wakitazama mchezo baina ya timu yao dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Hadi mapumziko Yanga walikuwa nyuma kwa mabao 2-0, laini mwishowe wakafungwa 3-2 katika mchezo huo wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika
Hawa ni mashabiki wa mahasimu wao, Simba wakiwatabiria kufungwa 3-0 mapema tu kabla ya mchezo huo kuanza
Binti mdogo (kulia) anaonekana akimsemesha jamaa ambaye 'hayupo kabisa' eneo aliloketi
Mashabiki wa Yanga kila mmoja kwa fikra na hisia zake jana
Russia is a threat to the UK and our sons and daughters must be ready to
fight, armed forces chief warns
-
Chief of defence staff Richard Knighton warned the situation is ‘more
dangerous than I have known during my career’
7 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment